Wanafunzi 323 wa kidato cha Kwanza wakiendelea na Masomo kwenye shule Mpya ya Nasa Matu,Kiteto.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) ameshuhudia Wanafunzi zaidi ya 323 wa kidato cha Kwanza wakiendelea na Masomo kwa wakati mmoja katika vyumba vya madarasa saba kwenye shule Mpya ya Nasa Matui iliyopo wilaya Kiteto. Amejionea hali hiyo tarehe 22 Februari 2023 wakati alipofika Shuleni hapo kukagua ujenzi wa miundombinu